Search This Blog

January 1, 2014

HABARI ZA MASIKITIKO ZA MSIBA WA WAZIRI WA FEDHA MH DR WILLIAM MGIMWA.

Nimepokea taarifa kutoka kwa rafiki yangu wa karibu kaka yangu Felix William Mgimwa kuhusiana na kupotelewa na mpendwa baba yetu/ waziri wetu wa fedha Mheshimiwa Dr William Mgimwa. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, Mzee wetu amekuwa akisumbiliwa na tatizo la moyo na figo na mauti yamemfika leo saa 6 mchana South Africa katika hospitali aliyokuwa kalazwa.
Kama kawaida yetu watanzania kufarijiana katika misiba, nawaomba na kuwasihi watanzania wenzangu tuweze ifariji familia ya Mgimwa katika kipindi hiki kigumu.
Msiba utakuwepo nyumbani kwa Felix Mgimwa 
ADDRESS: 9000 EAST LINCOLN
WICHITA, KANSAS 67207
FELIX MGIMWA CELL # 316-519-9340
Ningeomba tujitolee kumtumia michango ya rambi rambi kwa AC YAKE FELIX MGIMWA :BANK OF AMERICA ACCOUNT # 005180329473 Aweze kusafiri kwenda Tanzania kwa msiba.

Marehemu Mheshimiwa Dr William Mgimwa enzi za uhai wake.

October 11, 2013

MAY UR SOUL REST IN PEACE TIMOTHY MSHOMI.....KWA HABARI ZA MSIBA TUTAWALETEA ENDELEA KUTEMBELEA BLOG YETU.




SIELEWI KILICHO SABABISHA MDOGO WANGU KUUTOA UHAI WAKO ILA NAKUOMBEA UPUMZIKE SALAMA, KWA HABARI ZILIZOTUFIKIA TIMOTHY AMEJIPIGA RISASI NYUMBANI KWAO ROGERS MINNEAPOLIS JANA ASUBUHI. MUNGU AWAPE NGUVU BABA NA MAMA YAKO KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU.
ENZI ZA UHAI WA TIMOTHY

AM SPEECHLESS CANT EVEN BELIEVE IT!!!!!!!!!!!! YYYYYY TIMO WHAT HAPPEN JAMANI!!!!!!!!!!

PUMZIKA SALAMA.


September 18, 2013

JULIET IBRAHIM STAR ALONGSIDE HOLLYWOOD ACTS SYR LAW AND TASIE GRANT IN KELECHI EKE'S AFRICAN TIMES.


IMG-20130918-WA0002
Ghanaian actress Juliet Ibrahim is upping her game, as she stars in a Kelechi Eke’s movie which is coming soon. The movie titled ‘African time’ also features Hollywood acts Syr Law of Tyler Perry’s ‘Diary of a Mad Black Woman’ fame and Tasia Grant also known for Tyler Perry’s ‘Meet The Browns’.The film is about “African Time” a phrase used to describe the relaxed attitude that many Africans exhibit towards time. It seems to have become a part of African culture in that most African events tend to begin a few hours after the specified start time.
This becomes frustrating to those Africans that like to be punctual. Ironically, many Africans that are late to various social events are seldom late to work and to other engagements of interest. This fact questions whether “African Time” is really a culture or a Choice. This story humorously explores the issue of late coming among Africans and unveils some possible solutions for the infamous African Time.
IMG-20130918-WA0001
IMG-20130918-WA0000
IMG-20130918-WA0004
IMG-20130918-WA0005
IMG-20130918-WA0006
IMG-20130918-WA0003
IMG-20130918-WA0007
Popular cast – Steph Nora (Nigeria)
Juliet Ibrahim (Ghana)
Syr Law (USA – Known for Tyler Perry’s Diary of a Mad Black Woman)
Tasia Grant (USA – Known for Tyler Perry’s Meet The Browns)
- See more at: http://bunmiodunowo.com/juliet-ibrahim-star-alongside-hollywood-acts-syr-law-and-tasie-grant-in-kelechi-ekes-african-time/

September 1, 2013

DONT MISS 2MORROW AFRICAN ACTORS RECOGNITION AWARDS (AARA) SEE U ALL THERE......


AARA Nollywood Legends coming to Minneapolis, Minnesota sun Sept 1st. Performing live king of soukous Kanda Bongoman. GOLDEN CARPET:4pm, Award show:6:30pm follow by aftermath. Venue:MEC event center 5801 John Martin Dr, Brooklyn center, MN 
With Mr Olu Jacobs @the press conference in Minneapolis
This Gal is on Fireeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!
With the one and only Mama Ozi

She is now a pastor apart from acting, what a blessing
Aki.........Can u guys see Aki.......we to tall for him ooooh!!!!!


Mummy n Daughter......lol


August 16, 2013

SCAPPY GOT A NEW GAL........GUESS WHO?


DSC_0387
 The city showed up last night to help with Mz. Shyneka celebrate Leo season… Her birthday bash hosts included Erica Dixon, Mimi Faust, Kirk Frost, Memphitz, Bambi, and Don Vito. Surprise guest Scrappy showed up in the bldg and Erica felt some type of way and sent her goons! HA! Nothing really popped off but an exchange of words.
Looks official Atl Scrappy and Bambi confirmed they are a couple
Looks official Atl Scrappy and Bambi confirmed they are a couple

DSC_0235
Bambi and Scrappy heading in to the party
DSC_0241
More pic of Scrappy and Bambi holding hands.
DSC_0242
Scrappy and Bambi boo’d up.
DSC_0245
Bambi looking good.
DSC_0246
More Bambi
DSC_0251
Scrappy and friends acting a fool in these Atlanta streets.
DSC_0252
More Scrappy
DSC_0258
Krave Lounge | Scrappy and Bambi
DSC_0269
Mimi Faust looking amazing last night.
DSC_0271
Mimi Faust
DSC_0275
Mimi Faust and her boo Nikko
DSC_0426
Bambi and Scrappy kissing

SELFIEEEEEEE PIX @HOME!!!!! WISH U ALL NICE WEEKEND FELLA'S



SO MUCH INLOVE WITH MY BOX BRAIDS
TASTING MY LIPS............
NAKUPENDA STARLISHA......WINK WINK HAHHAHAHAHAHHA


NEW SINGLE RELEASED: FOREVER BY JEFF MAXIMUM..........GOOD JOB MY FRIEND.



Get hold of Jeff through his Facebook @https://www.facebook.com/pages/JEFF-MAXIMUM/166226143446532

SWAHILI TV EXCLUSIVE INTERVIEW WITH ARMY NANDO MSHIRIKI TOKA TANZANIA ALIYESHIRIKI BBA "THE CHASE" SEASON 8


Swahili TV ilifanya mahojiano exclusive na  Ammy Nando katika Jiji la Los Angeles, USA. Ammy ambaye kwa sasa anajulikana kama Army Nando, Mtanzania mwenye makazi yake katika jimbo la California, aliyeshiriki   Big Brother Africa season 8 "The Chase" na hatimaye kutolewa .  Katika video hii Nando amefunguka kuhusu kilichomfanya atolewe mjengoni, maisha ya mle ndani na pia ameweka bayana mipango yake ya baadaye, nini kinachofuata baada ya BBA.
Kwa interview zaidi tembelea
www.swahilitv.blogspot.com
www.swahilitv.info

TANZANIAN ADMITS TO SMUGGLING HEROIN INSIDE LAPTOP........DAMN!!!!!! SHAME ON THIS STUPID FEW TANZANIANS WHO SPOILS OUR COUNTRY!!!!!!!!!!!

LOS ANGELES—A Tanzanian man faces up to 40 years in prison for trying to smuggle heroin into the United States inside a non-working laptop.
City News Service reports 33-year-old Joseph Mackubi pleaded guilty in Los Angeles federal court Wednesday.
Customs inspectors at LAX noticed that Mackubi's laptop seemed unusually heavy when they conducted a secondary screening last October.
They tried to turn the laptop on and it didn't start. When they noticed the laptop appeared tampered with, they opened it and found 800 grams of heroin.
Mackubi, who traveled to Los Angeles from Nairobi, said he was going to meet a woman he met on the Internet in Alabama.
Several recent drug seizures at LAX involved Tanzanian smugglers who traveled a similar path.
Mackubi is due for sentencing Sept. 11.

August 14, 2013

SWAHILI RADIO KUANZA KURUSHA MATANGAZO HEWANI HIVI KARIBUNI KUTOKEA JIJINI WASHINGTON D.C. USA


Mkurugkenzi wa Swahili Radio Bwana Dickson Mkama (DMK) akiwa hewani wakati  wa majaribio

Mkurugenzi wa Swahili Radio Bwana Alex Kassuwi (King) akiwa hewani akifanya majaribio

Bwana DMK akiendelea na majaribio ya kipindi chake cha Entertainment

  Alex Kassuwi akiweka mitambo sawa wakati wa majaribio

 DMK akikamilisha taratibu za mwisho mwisho kuingia hewani

  Alex akifurahia baada ya mitambo kuonyesha mafanikio katika majaribio

 Wakurugenzi wa Swahili Radio Bwana Alex na DMK wakiendesha kipindi cha majaribio hewani

SWAHILI RADIO
Ni Radio iliyoanzishwa Jijini Washington DC USA na Kampuni ya "MMK MEDIA GROUP LLC " ambao wanamiliki Swahili Radio On Line,Swahili TV on Line,Swahilitv Blog, Swahili Magazine USA-AFRICA,na The Bridge Show ndani ya DCTV.
Radio hii pamoja na TV ziko kwenye majaribio kwa sasa na zitaanza kuwa hewani kwa watu wote kusikiliza na kuangalia punde muda wa majaribio utakapo malizika.Watanzania hao watatu wote kwa pamoja wanayofuraha kubwa kwa jinsi ambavyo majaribio ya kazi hizi yanavyoendelea na kwa kingereza wanasema THEY CAN'T WAIT TO BRING TO YOU WHAT YOU HAVE BEEN WAITING FOR.

"PROGRAMS ZA RADIO KWA KUANZIA"

*KIPINDI CHA BURUDANI NA MICHEZO DUNIANI*
*MAPENZI NA MAISHA*
*MAISHA UGHAIBUNI*
*HABARI ZA DUNIA*
*THE WEEKEND SPECIAL*

KWA HABARI ZAIDI TEMBELEA SWAHILITV.BLOGSPOT.COM








ALL WHITE TUESDAY, THANK GOD MY DAY WENT WELL NOW IS TIME TO RELAX.....GUD NIGHT FELLA'S!!!!!!

Batoto ya Kichaga Everyday is a Holiday.......

Baada ya Kazi mingi ni time ya kula kitu roho inapenda 


Hapana chezea bidada mimi unataka leage karibu ulingoni mwangu..............stress free lady hapo chacha kama unamamizigo kichwani hapana letea mimi go solve it on ur own time bidada!!!!!!! Hapa nlikuwa nshahesabu  midollar niliyoingiza kwa my business siku ya leo

YOU MAY ALSO LIKE THIS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...